Kutoka 39 : 13 Exodus chapter 39 verse 13

Swahili English Translation

Kutoka 39:13

Na safu ya nne ilikuwa ni zabarajadi, na shohamu, na yaspi: vito hivyo vilikuwa vimetiwa katika vijalizo vya dhahabu, kila kimoja mahali pake.
soma Mlango wa 39

Exodus 39:13

and the fourth row, a chrysolite, an onyx, and a jasper. They were enclosed in gold settings.