Kutoka 39 : 10 Exodus chapter 39 verse 10

Swahili English Translation

Kutoka 39:10

Nao wakatia safu nne za vito ndani yake, safu moja ilikuwa ni akiki, na yakuti ya rangi ya manjano, na baharamani, vilikuwa ni safu ya kwanza.
soma Mlango wa 39

Exodus 39:10

They set in it four rows of stones. A row of ruby, topaz, and beryl was the first row;