Kutoka 36 : 9 Exodus chapter 36 verse 9
Swahili | English Translation |
---|---|
Kutoka 36:9
Urefu wa kila pazia ulikuwa ni dhiraa ishirini na nane, na upana wa kila pazia ulikuwa ni dhiraa nne; mapazia yote yalikuwa ya kipimo kimoja.
|
Exodus 36:9The length of each curtain was twenty-eight cubits, and the breadth of each curtain four cubits. All the curtains had one measure. |