Kutoka 36 : 21 Exodus chapter 36 verse 21

Swahili English Translation

Kutoka 36:21

Urefu wa kila ubao ulikuwa ni dhiraa kumi, na upana wa kila ubao ulikuwa ni dhiraa moja na nusu.
soma Mlango wa 36

Exodus 36:21

Ten cubits was the length of a board, and a cubit and a half the breadth of each board.