Kutoka 36 : 17 Exodus chapter 36 verse 17

Swahili English Translation

Kutoka 36:17

Kisha akafanya matanzi hamsini katika upindo wa pazia lililo upande wa nje katika kile kiungo, naye akafanya matanzi hamsini katika ncha ya pazia lililokuwa upande wa nje katika kiungo cha pili.
soma Mlango wa 36

Exodus 36:17

He made fifty loops on the edge of the curtain that was outmost in the coupling, and he made fifty loops on the edge of the curtain which was outmost in the second coupling.