Kutoka 36 : 15 Exodus chapter 36 verse 15

Swahili English Translation

Kutoka 36:15

Urefu wa kila pazia ulikuwa ni dhiraa thelathini, na upana wa kila pazia ulikuwa ni dhiraa nne; hayo mapazia yote kumi na moja yalikuwa ya kipimo kimoja.
soma Mlango wa 36

Exodus 36:15

The length of each curtain was thirty cubits, and four cubits the breadth of each curtain. The eleven curtains had one measure.