Kutoka 29 : 2 Exodus chapter 29 verse 2

Swahili English Translation

Kutoka 29:2

na mkate usiotiwa chachu, na maandazi yasiyotiwa chachu yaliyokandwa kwa mafuta, na kaki zisizotiwa chachu zilizotiwa mafuta; utazifanya za unga mzuri mwembamba wa ngano.
soma Mlango wa 29

Exodus 29:2

unleavened bread, unleavened cakes mixed with oil, and unleavened wafers anointed with oil: you shall make them of fine wheat flour.