Esta 4 : 11 Esther chapter 4 verse 11

Swahili English Translation

Esta 4:11

Watumwa wote wa mfalme wanajua sana, hata na watu wa majimbo ya mfalme, ya kwamba mtu ye yote, akiwa mwanamume au mwanamke, atakayemjia mfalme katika ua wa ndani, wala hakuitwa, kuna sheria moja kwake, ni kwamba auawe; isipokuwa yeye ambaye mfalme atamnyoshea fimbo ya dhahabu, ili aishi; wala mimi sikuitwa niingie kwa mfalme yapata siku thelathini.
soma Mlango wa 4

Esther 4:11

All the king's servants, and the people of the king's provinces, do know, that whoever, whether man or woman, shall come to the king into the inner court, who is not called, there is one law for him, that he be put to death, except those to whom the king shall hold out the golden scepter, that he may live: but I have not been called to come in to the king these thirty days.