Kumbukumbu la Torati 4 : 20 Deuteronomy chapter 4 verse 20

Swahili English Translation

Kumbukumbu la Torati 4:20

Bali Bwana amewatwaa ninyi, na kuwatoa katika tanuu ya chuma, katika Misri, mpate kuwa watu wa urithi kwake, kama mlivyo leo hivi.
soma Mlango wa 4

Deuteronomy 4:20

But Yahweh has taken you, and brought you forth out of the iron furnace, out of Egypt, to be to him a people of inheritance, as at this day.