Kumbukumbu la Torati 32 : 49 Deuteronomy chapter 32 verse 49
Swahili | English Translation |
---|---|
Kumbukumbu la Torati 32:49
Kwea katika mlima huu wa Abarimu, mpaka kilima cha Nebo, kilicho katika nchi ya Moabu, kuelekea Yeriko; ukaangalie nchi ya Kanaani niwapayo wana wa Israeli kuimiliki;
|
Deuteronomy 32:49Go up into this mountain of Abarim, to Mount Nebo, which is in the land of Moab, that is over against Jericho; and see the land of Canaan, which I give to the children of Israel for a possession; |