Kumbukumbu la Torati 28 : 63 Deuteronomy chapter 28 verse 63

Swahili English Translation

Kumbukumbu la Torati 28:63

Tena itakuwa, kama vile alivyokuwa akifurahi Bwana juu yenu kwa kuwatendea mema na kuwafanya kuwa wengi, ndivyo atakavyofurahi Bwana juu yenu kwa kuwapoteza na kuwaangamiza; nanyi mtanyakuliwa katika hiyo nchi mwingiayo kuimiliki.
soma Mlango wa 28

Deuteronomy 28:63

It shall happen that as Yahweh rejoiced over you to do you good, and to multiply you, so Yahweh will rejoice over you to cause you to perish, and to destroy you; and you shall be plucked from off the land where you go in to possess it.