Matendo ya Mitume 19 : 9 Acts chapter 19 verse 9

Swahili English Translation

Matendo ya Mitume 19:9

Lakini wengine walikaidi, wakakataa kuamini, wakiitukana ile Njia mbele ya mkutano; basi, akaondoka akawaacha, akawatenga wanafunzi, akahojiana na watu kila siku katika darasa ya mtu mmoja, jina lake Tirano.
soma Mlango wa 19

Acts 19:9

But when some were hardened and disobedient, speaking evil of the Way before the multitude, he departed from them, and separated the disciples, reasoning daily in the school of Tyrannus.