2 Samweli 20 : 21 2nd Samuel chapter 20 verse 21

Swahili English Translation

2 Samweli 20:21

Neno hili silo hivyo; lakini mtu mmoja wa milima ya Efraimu, Sheba, mwana wa Bikri, jina lake, ameinua mkono wake juu ya mfalme, naam, Daudi, basi mtoeni yeye tu, nami nitaondoka katika mji huu. Basi yule mwanamke akamwambia Yoabu, Tazama, kichwa chake utatupiwa juu ya ukuta.
soma Mlango wa 20

2nd Samuel 20:21

The matter is not so: but a man of the hill-country of Ephraim, Sheba the son of Bichri by name, has lifted up his hand against the king, even against David; deliver him only, and I will depart from the city. The woman said to Joab, Behold, his head shall be thrown to you over the wall.