2 Samweli 20 : 2 2nd Samuel chapter 20 verse 2
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Samweli 20:2
Basi wakapanda watu wote wa Israeli kutoka kumfuata Daudi, wakamfuata Sheba, mwana wa Bikri; lakini watu wa Yuda wakaambatana na mfalme wao, toka Yordani hata kufika Yerusalemu.
|
2nd Samuel 20:2So all the men of Israel went up from following David, and followed Sheba the son of Bichri; but the men of Judah joined with their king, from the Jordan even to Jerusalem. |