2 Samweli 20 : 15 2nd Samuel chapter 20 verse 15

Swahili English Translation

2 Samweli 20:15

Na hao wakaja wakamhusuru katika Abeli wa Bethmaaka, wakafanya chuguu mbele ya mji, nayo ikasimama kuielekea ngome; na watu wote waliokuwa pamoja na Yoabu wakavunja-vunja ukuta, wapate kuubomoa.
soma Mlango wa 20

2nd Samuel 20:15

They came and besieged him in Abel of Beth Maacah, and they cast up a mound against the city, and it stood against the rampart; and all the people who were with Joab battered the wall, to throw it down.