2 Samweli 18 : 33 2nd Samuel chapter 18 verse 33

Swahili English Translation

2 Samweli 18:33

Naye mfalme akataabika sana, akapanda juu, akaingia kile chumba kilichokuwa juu ya lango, akalia; na katika kwenda kwake alisema hivi, Mwanangu Absalomu! Ee mwanangu! Mwanangu Absalomu! Laiti ningalikufa badala yako, Absalomu, mwanangu, mwanangu! </p>
soma Mlango wa 18

2nd Samuel 18:33

The king was much moved, and went up to the chamber over the gate, and wept: and as he went, thus he said, my son Absalom, my son, my son Absalom! would I had died for you, Absalom, my son, my son!