2 Samweli 18 : 22 2nd Samuel chapter 18 verse 22

Swahili English Translation

2 Samweli 18:22

Ndipo Ahimaasi, mwana wa Sadoki, akamwambia Yoabu mara ya pili, Haidhuru, tafadhali nipe ruhusa, nipige mbio na mimi nyuma ya huyo Mkushi. Naye Yoabu akasema, Mbona wewe unataka kupiga mbio, mwanangu, kwa maana hutapata kitu kwa habari hizo unazopeleka?
soma Mlango wa 18

2nd Samuel 18:22

Then said Ahimaaz the son of Zadok yet again to Joab, But come what may, Please let me also run after the Cushite. Joab said, Why will you run, my son, seeing that you will have no reward for the news?