2 Samweli 16 : 18 2nd Samuel chapter 16 verse 18

Swahili English Translation

2 Samweli 16:18

Hushai akamwambia Absalomu, La, sivyo; lakini yule Bwana aliyemchagua, na watu hawa, na watu wote wa Israeli, mimi nitakuwa wake, na pamoja naye nitakaa.
soma Mlango wa 16

2nd Samuel 16:18

Hushai said to Absalom, No; but whom Yahweh, and this people, and all the men of Israel have chosen, his will I be, and with him will I abide.