2 Samweli 16 : 10 2nd Samuel chapter 16 verse 10

Swahili English Translation

2 Samweli 16:10

Mfalme akasema, Nina nini na ninyi, enyi wana wa Seruya? Kwa sababu yeye analaani, na kwa sababu Bwana amemwambia, Mlaani Daudi, basi, ni nani atakayesema, Mbona umetenda haya?
soma Mlango wa 16

2nd Samuel 16:10

The king said, What have I to do with you, you sons of Zeruiah? Because he curses, and because Yahweh has said to him, Curse David; who then shall say, Why have you done so?