2 Samweli 14 : 9 2nd Samuel chapter 14 verse 9

Swahili English Translation

2 Samweli 14:9

Ndipo huyo mwanamke wa Tekoa akamwambia mfalme, Na uwe juu yangu, Ee bwana wangu mfalme, na juu ya nyumba ya baba yangu uovu huu; wala kwa mfalme na kwa kiti chake cha enzi pasiwepo hatia.
soma Mlango wa 14

2nd Samuel 14:9

The woman of Tekoa said to the king, My lord, O king, the iniquity be on me, and on my father's house; and the king and his throne be guiltless.