2 Samweli 14 : 2 2nd Samuel chapter 14 verse 2

Swahili English Translation

2 Samweli 14:2

Yoabu akatuma watu waende Tekoa, akaleta kutoka huko mwanamke mwenye akili, akamwambia, Nakusihi, ujifanye kama unakaa matanga, ukavae nguo za kufiwa, nakusihi, wala usijitie mafuta, ila ukafanane na mwanamke aliyeomboleza siku nyingi kwa ajili yake aliyefariki;
soma Mlango wa 14

2nd Samuel 14:2

Joab sent to Tekoa, and fetched there a wise woman, and said to her, please act like a mourner, and put on mourning clothing, Please, and don't anoint yourself with oil, but be as a woman who has a long time mourned for the dead: