2 Samweli 13 : 34 2nd Samuel chapter 13 verse 34
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Samweli 13:34
Lakini Absalomu akakimbia. Na kijana yule aliyekuwa mlinzi akainua macho yake, akaona, na tazama, kuna watu wengi wanakuja kwa njia ya upande wa kilima nyuma yake.
|
2nd Samuel 13:34But Absalom fled. The young man who kept the watch lifted up his eyes, and looked, and, behold, there came much people by the way of the hill-side behind him. |