2 Samweli 13 : 23 2nd Samuel chapter 13 verse 23

Swahili English Translation

2 Samweli 13:23

Ikawa baada ya miaka miwili mizima, Absalomu alikuwa na wenye kukata manyoya ya kondoo huko Baal-hasori uliopo upande wa Efraimu; naye Absalomu akawaalika wana wote wa mfalme.
soma Mlango wa 13

2nd Samuel 13:23

It happened after two full years, that Absalom had sheep-shearers in Baal Hazor, which is beside Ephraim: and Absalom invited all the king's sons.