2 Samweli 10 : 2 2nd Samuel chapter 10 verse 2

Swahili English Translation

2 Samweli 10:2

Naye Daudi akasema, Nitamtendea wema Hanuni, mwana wa Nahasi, kama babaye alivyonitendea wema mimi. Basi Daudi akatuma kwa mkono wa watumishi wake, ili kumtuliza kwa habari za babaye. Wakaja watumishi wa Daudi katika nchi ya wana wa Amoni.
soma Mlango wa 10

2nd Samuel 10:2

David said, I will show kindness to Hanun the son of Nahash, as his father shown kindness to me. So David sent by his servants to comfort him concerning his father. David's servants came into the land of the children of Ammon.