2 Wafalme 25 : 27 2nd Kings chapter 25 verse 27

Swahili English Translation

2 Wafalme 25:27

Ikawa katika mwaka wa thelathini na saba wa kuhamishwa kwake Yekonia mfalme wa Yuda ,katika mwezi wa kumi na mbili ,siku ya ishirini na saba ya mwezi ,Evil-merodaki,mfalme wa Babeli ,katika mwaka wa kwanza wa kutawala kwake,akamwinua kichwa Yekonia,mfalme wa Yuda,akamtoa gerezani.
soma Mlango wa 25

2nd Kings 25:27

It happened in the seven and thirtieth year of the captivity of Jehoiachin king of Judah, in the twelfth month, on the seven and twentieth day of the month, that Evilmerodach king of Babylon, in the year that he began to reign, did lift up the head of Jehoiachin king of Judah out of prison;