2 Wafalme 23 : 30 2nd Kings chapter 23 verse 30

Swahili English Translation

2 Wafalme 23:30

Watumishi wake wakamchukua garini, amekwisha kufa, kutoka Megido, wakamleta Yerusalemu, wakamzika katika kaburi lake mwenyewe. Watu wa nchi wakamtwaa Yehoahazi mwana wa Yosia, wakamtia mafuta, wakamtawaza awe mfalme badala ya baba yake.
soma Mlango wa 23

2nd Kings 23:30

His servants carried him in a chariot dead from Megiddo, and brought him to Jerusalem, and buried him in his own tomb. The people of the land took Jehoahaz the son of Josiah, and anointed him, and made him king in his father's place.