2 Wafalme 18 : 15 2nd Kings chapter 18 verse 15
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Wafalme 18:15
Hezekia akampa fedha yote iliyoonekana katika nyumba ya Bwana, na katika hazina za nyumba ya mfalme.
|
2nd Kings 18:15Hezekiah gave [him] all the silver that was found in the house of Yahweh, and in the treasures of the king's house. |