2 Wafalme 18 : 11 2nd Kings chapter 18 verse 11

Swahili English Translation

2 Wafalme 18:11

Mfalme wa Ashuru akawahamisha Israeli mpaka Ashuru, akawaweka katika Hala, na katika Habori, karibu na mto wa Gozani, na katika miji ya Wamedi;
soma Mlango wa 18

2nd Kings 18:11

The king of Assyria carried Israel away to Assyria, and put them in Halah, and on the Habor, the river of Gozan, and in the cities of the Medes,