2 Wafalme 18 : 1 2nd Kings chapter 18 verse 1

Swahili English Translation

2 Wafalme 18:1

Ikawa katika mwaka wa tatu wa Hoshea, mwana wa Ela, mfalme wa Israeli, Hezekia, mwana wa Ahazi, mfalme wa Yuda, alianza kutawala.
soma Mlango wa 18

2nd Kings 18:1

Now it happened in the third year of Hoshea son of Elah king of Israel, that Hezekiah the son of Ahaz king of Judah began to reign.