2 Wafalme 17 : 32 2nd Kings chapter 17 verse 32

Swahili English Translation

2 Wafalme 17:32

Basi hivyo wakamcha Bwana, nao wakijifanyia wengine wao kuwa makuhani wa mahali pa juu, ambao waliwafanyia dhabihu katika nyumba za mahali pa juu.
soma Mlango wa 17

2nd Kings 17:32

So they feared Yahweh, and made to them from among themselves priests of the high places, who sacrificed for them in the houses of the high places.