2 Wafalme 17 : 19 2nd Kings chapter 17 verse 19
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Wafalme 17:19
Hata na watu wa Yuda hawakuyashika maagizo ya Bwana, Mungu wao, lakini walikwenda katika amri za Israeli walizokuwa wamezifanya wenyewe.
|
2nd Kings 17:19Also Judah didn't keep the commandments of Yahweh their God, but walked in the statutes of Israel which they made. |