2 Wafalme 17 : 18 2nd Kings chapter 17 verse 18

Swahili English Translation

2 Wafalme 17:18

Kwa hiyo Bwana akawaghadhibikia Israeli sana, akawahamisha mbali na uso wake; wala hapana aliyesalia ila kabila ya Yuda peke yake.
soma Mlango wa 17

2nd Kings 17:18

Therefore Yahweh was very angry with Israel, and removed them out of his sight: there was none left but the tribe of Judah only.