2 Wakorintho 11 : 12 2nd Corinthians chapter 11 verse 12

Swahili English Translation

2 Wakorintho 11:12

Lakini nifanyalo nitalifanya, ili niwapinge hao watafutao nafasi wasipate nafasi; ili kwamba katika neno hilo wajisifialo waonekane kuwa kama sisi.
soma Mlango wa 11

2nd Corinthians 11:12

But what I do, that I will do, that I may cut off occasion from them that desire an occasion, that in which they boast, they may be found even as we.