2 Wakorintho 10 : 15 2nd Corinthians chapter 10 verse 15

Swahili English Translation

2 Wakorintho 10:15

wala hatujisifu zaidi ya kadiri yetu, yaani, katika taabu za watu wengine; bali tukiwa na tumaini ya kwamba, imani yenu ikuapo, tutakuzwa kwenu kwa kadiri ya kipimo chetu, na kupata ziada;
soma Mlango wa 10

2nd Corinthians 10:15

not boasting beyond proper limits in other men's labors, but having hope that as your faith grows, we will be abundantly enlarged by you in our sphere of influence,