2 Mambo ya Nyakati 8 : 9 2nd Chronicles chapter 8 verse 9

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 8:9

Wala katika wana wa Israeli Sulemani hakuwafanya watumwa kazini mwake; lakini hao walikuwa watu wa vita, na wakuu wa majemadari wake, na maakida wa magari yake na wa wapanda farasi wake.
soma Mlango wa 8

2nd Chronicles 8:9

But of the children of Israel did Solomon make no servants for his work; but they were men of war, and chief of his captains, and rulers of his chariots and of his horsemen.