2 Mambo ya Nyakati 36 : 9 2nd Chronicles chapter 36 verse 9
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Mambo ya Nyakati 36:9
Yekonia alikuwa na umri wa miaka kumi na minane alipoanza kutawala; akatawala katika Yerusalemu miezi mitatu na siku kumi; akafanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana.
|
2nd Chronicles 36:9Jehoiachin was eight years old when he began to reign; and he reigned three months and ten days in Jerusalem: and he did that which was evil in the sight of Yahweh. |