2 Mambo ya Nyakati 32 : 31 2nd Chronicles chapter 32 verse 31

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 32:31

Walakini kwa habari ya wajumbe wa wakuu wa Babeli, waliotuma kwake kuuliza ajabu iliyofanywa katika nchi, Mungu akamwacha, ili amjaribu, ili kwamba ayajue yote yaliyokuwamo moyoni mwake.
soma Mlango wa 32

2nd Chronicles 32:31

However in [the business of] the ambassadors of the princes of Babylon, who sent to him to inquire of the wonder that was done in the land, God left him, to try him, that he might know all that was in his heart.