2 Mambo ya Nyakati 32 : 1 2nd Chronicles chapter 32 verse 1

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 32:1

:Ikawa, baada ya mambo hayo, na uaminifu huo, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, akaja, akaingia katika Yuda, akafanya marago juu ya miji yenye maboma, akadhania kwamba ataipata iwe yake.
soma Mlango wa 32

2nd Chronicles 32:1

After these things, and this faithfulness, Sennacherib king of Assyria came, and entered into Judah, and encamped against the fortified cities, and thought to win them for himself.