2 Mambo ya Nyakati 32 : 1 2nd Chronicles chapter 32 verse 1
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Mambo ya Nyakati 32:1
:Ikawa, baada ya mambo hayo, na uaminifu huo, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, akaja, akaingia katika Yuda, akafanya marago juu ya miji yenye maboma, akadhania kwamba ataipata iwe yake.
|
2nd Chronicles 32:1After these things, and this faithfulness, Sennacherib king of Assyria came, and entered into Judah, and encamped against the fortified cities, and thought to win them for himself. |