2 Mambo ya Nyakati 30 : 17 2nd Chronicles chapter 30 verse 17
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Mambo ya Nyakati 30:17
Kwa maana kulikuwa na wengi katika kusanyiko ambao hawajajitakasa; kwa hiyo Walawi wakamchinjia pasaka, kila mtu asiyekuwa safi, ili kuwatakasa kwa Bwana.
|
2nd Chronicles 30:17For there were many in the assembly who had not sanctified themselves: therefore the Levites had the charge of killing the Passovers for everyone who was not clean, to sanctify them to Yahweh. |