2 Mambo ya Nyakati 30 : 17 2nd Chronicles chapter 30 verse 17

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 30:17

Kwa maana kulikuwa na wengi katika kusanyiko ambao hawajajitakasa; kwa hiyo Walawi wakamchinjia pasaka, kila mtu asiyekuwa safi, ili kuwatakasa kwa Bwana.
soma Mlango wa 30

2nd Chronicles 30:17

For there were many in the assembly who had not sanctified themselves: therefore the Levites had the charge of killing the Passovers for everyone who was not clean, to sanctify them to Yahweh.