2 Mambo ya Nyakati 29 : 17 2nd Chronicles chapter 29 verse 17

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 29:17

Basi wakaanza kutakasa siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, hata siku ya nane ya mwezi wakafika katika ukumbi wa Bwana; wakaitakasa nyumba ya Bwana katika muda wa siku nane; wakamaliza siku ya kumi na sita ya mwezi wa kwanza.
soma Mlango wa 29

2nd Chronicles 29:17

Now they began on the first [day] of the first month to sanctify, and on the eighth day of the month came they to the porch of Yahweh; and they sanctified the house of Yahweh in eight days: and on the sixteenth day of the first month they made an end.