2 Mambo ya Nyakati 29 : 1 2nd Chronicles chapter 29 verse 1

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 29:1

Hezekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala; akatawala katika Yerusalemu miaka ishirini na kenda; na jina la mamaye aliitwa Abiya binti Zekaria.
soma Mlango wa 29

2nd Chronicles 29:1

Hezekiah began to reign when he was twenty-five years old; and he reigned twenty-nine years in Jerusalem: and his mother's name was Abijah, the daughter of Zechariah.