2 Mambo ya Nyakati 28 : 6 2nd Chronicles chapter 28 verse 6
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Mambo ya Nyakati 28:6
Kwa kuwa Peka mwana wa Remalia akawaua katika Yuda siku moja watu mia na ishirini elfu, mashujaa wote; kwa sababu walikuwa wamemwacha Bwana, Mungu wa baba zao.
|
2nd Chronicles 28:6For Pekah the son of Remaliah killed in Judah one hundred twenty thousand in one day, all of them valiant men; because they had forsaken Yahweh, the God of their fathers. |