2 Mambo ya Nyakati 24 : 25 2nd Chronicles chapter 24 verse 25

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 24:25

Hata walipoondoka kwake, (nao walimwacha ameshikwa sana na maradhi,) watumishi wake mwenyewe wakamfanyia fitina kwa ajili ya damu ya mwana wa Yehoyada kuhani, wakamwua kitandani pake, akafa; wakamzika mjini mwa Daudi, lakini hawakumzika katika makaburi ya wafalme.
soma Mlango wa 24

2nd Chronicles 24:25

When they were departed for him (for they left him very sick), his own servants conspired against him for the blood of the sons of Jehoiada the priest, and killed him on his bed, and he died; and they buried him in the city of David, but they didn't bury him in the tombs of the kings.