2 Mambo ya Nyakati 21 : 2 2nd Chronicles chapter 21 verse 2

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 21:2

Naye alikuwa na ndugu, wana wa Yehoshafati, Azaria, na Yehieli, na Zekaria, na Azaria, na Mikaeli, na Shefatia; hao wote walikuwa wana wa Yehoshafati mfalme wa Israeli.
soma Mlango wa 21

2nd Chronicles 21:2

He had brothers, the sons of Jehoshaphat: Azariah, and Jehiel, and Zechariah, and Azariah, and Michael, and Shephatiah; all these were the sons of Jehoshaphat king of Israel.