2 Mambo ya Nyakati 20 : 9 2nd Chronicles chapter 20 verse 9

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 20:9

Yakitujia mabaya, upanga, hukumu, au tauni, au njaa, tutasimama mbele ya nyumba hii, na mbele zako, (maana jina lako limo katika nyumba hii), na kukulilia katika shida yetu, nawe utasikia na kuokoa.
soma Mlango wa 20

2nd Chronicles 20:9

If evil come on us, the sword, judgment, or pestilence, or famine, we will stand before this house, and before you, (for your name is in this house), and cry to you in our affliction, and you will hear and save.