2 Mambo ya Nyakati 2 : 14 2nd Chronicles chapter 2 verse 14

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 2:14

mwana wa mwanamke wa binti za Dani, na babaye alikuwa mtu wa Tiro, ajuaye sana kazi ya dhahabu, na ya fedha, ya shaba, ya chuma, ya mawe, na ya mti, ya urujuani, ya samawi, na ya kitani safi, na ya nyekundu; tena mstadi wa kuchora machoro yo yote, na wa kufikiri fikira yo yote; apate kuagiziwa kazi pamoja na watu wako wastadi, tena na wastadi wa bwana wangu Daudi baba yako.
soma Mlango wa 2

2nd Chronicles 2:14

the son of a woman of the daughters of Dan; and his father was a man of Tyre, skillful to work in gold, and in silver, in brass, in iron, in stone, and in timber, in purple, in blue, and in fine linen, and in crimson, also to engrave any manner of engraving, and to devise any device; that there may be [a place] appointed to him with your skillful men, and with the skillful men of my lord David your father.