2 Mambo ya Nyakati 19 : 2 2nd Chronicles chapter 19 verse 2

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 19:2

Yehu mwana wa Hanani mwonaji akatoka kwenda kumlaki, akamwambia mfalme Yehoshafati, Je! Imekupasa kuwasaidia waovu, na kuwapenda wamchukiao Bwana? Kwa ajili ya hayo ghadhabu i juu yako itokayo kwa Bwana.
soma Mlango wa 19

2nd Chronicles 19:2

Jehu the son of Hanani the seer went out to meet him, and said to king Jehoshaphat, Should you help the wicked, and love those who hate Yahweh? for this thing wrath is on you from before Yahweh.