2 Mambo ya Nyakati 18 : 33 2nd Chronicles chapter 18 verse 33

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 18:33

Na mtu mmoja akavuta upinde kwa kubahatisha, akampiga mfalme wa Israeli mahali pa kuungana mavazi yake ya chuma; kwa hiyo akamwambia mwendesha gari, Geuza mkono wako, unichukue kutoka katika majeshi; kwa kuwa nimejeruhiwa sana.
soma Mlango wa 18

2nd Chronicles 18:33

A certain man drew his bow at a venture, and struck the king of Israel between the joints of the armor. Therefore he said to the driver of the chariot, Turn your hand, and carry me out of the host; for I am sore wounded.