2 Mambo ya Nyakati 18 : 3 2nd Chronicles chapter 18 verse 3

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 18:3

Ahabu, mfalme wa Israeli, akamwambia Yehoshafati, mfalme wa Yuda, Je! Utakwenda nami mpaka Ramoth-gileadi? Akamjibu, Mimi ni kama wewe, na watu wangu kama watu wako; nasi tutakuwa pamoja nawe vitani.
soma Mlango wa 18

2nd Chronicles 18:3

Ahab king of Israel said to Jehoshaphat king of Judah, Will you go with me to Ramoth-gilead? He answered him, I am as you are, and my people as your people; and [we will be] with you in the war.