2 Mambo ya Nyakati 18 : 18 2nd Chronicles chapter 18 verse 18
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Mambo ya Nyakati 18:18
Mikaya akasema, Sikieni basi neno la Bwana; Nalimwona Bwana ameketi katika kiti chake cha enzi na jeshi lote la mbinguni wamesimama mkono wake wa kuume na wa kushoto.
|
2nd Chronicles 18:18[Micaiah] said, Therefore hear you the word of Yahweh: I saw Yahweh sitting on his throne, and all the host of heaven standing on his right hand and on his left. |